Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Yahya (Guest) on July 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Kawawa (Guest) on May 14, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on May 11, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaidha (Guest) on February 8, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 6, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Ochieng (Guest) on December 31, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on November 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Diana Mallya (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kawawa (Guest) on November 25, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Peter Mugendi (Guest) on November 25, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Raha (Guest) on November 9, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kamau (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 27, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on August 9, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on July 28, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on June 20, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rahma (Guest) on June 11, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 5, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Baraka (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on March 29, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 22, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Francis Mrope (Guest) on March 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Selemani (Guest) on March 22, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on March 14, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Makame (Guest) on January 28, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on January 9, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Umi (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

George Wanjala (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on July 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Robert Ndunguru (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Makame (Guest) on July 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on July 1, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Kimotho (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwachumu (Guest) on March 31, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nuru (Guest) on March 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More