Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi
Updated at: 2024-05-25 17:08:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupo kibaruani.
Acha sasa mhaya apate kazi katka mashine ya kusaga na kukoboa; utaskia i work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing company
😂😂😂
Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake
Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:
MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.
Updated at: 2024-05-25 18:13:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:
MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.
MKE - nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu.