Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mgonjwa

Featured Image
236 Comments

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Featured Image

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako

236 Comments

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.
236 Comments

Biashara ambayo imefeli

Featured Image
238 Comments

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae. MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani? JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo. MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
238 Comments

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Featured Image
236 Comments

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
236 Comments

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image
MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!? MLEVI; "Ndio. MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!? MLEVI; "Nakunywa bia tano!
236 Comments

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Featured Image
236 Comments