Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 Comments

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image
240 Comments

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Featured Image

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture
2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation

Β 

237 Comments

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image
237 Comments

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 Comments

Hii ndiyo maana ya matatizo

Featured Image
237 Comments

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Β 

237 Comments

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Featured Image
236 Comments

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
237 Comments

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Featured Image
237 Comments