Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Featured Image
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!? Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
236 Comments

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Featured Image
236 Comments

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image
236 Comments

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi

236 Comments

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Featured Image
236 Comments

Mjini shule. Soma hii

Featured Image
237 Comments

Huyu bibi kazidi sasa

Featured Image
236 Comments

Cheki hawa wachungaji

Featured Image
236 Comments

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 Comments