Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
236 Comments

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image
237 Comments

Safari ni safari

Featured Image
236 Comments

Wasichana wa leo

Featured Image
236 Comments

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Featured Image
236 Comments

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Featured Image
236 Comments

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Featured Image
237 Comments

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
236 Comments

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "โ€ฆ Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4โ€ฆ."
236 Comments

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image
238 Comments