Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Featured Image

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniβ€¦πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Awino (Guest) on October 10, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on October 1, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

James Malima (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Ann Awino (Guest) on August 29, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 23, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jamila (Guest) on June 23, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on May 24, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on April 29, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rukia (Guest) on April 9, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Mbise (Guest) on March 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on February 27, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zuhura (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on January 31, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on January 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zubeida (Guest) on January 13, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Komba (Guest) on December 3, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 18, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Binti (Guest) on November 15, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Warda (Guest) on October 27, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Tabitha Okumu (Guest) on October 11, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on October 9, 2016

Asante Ackyshine

Joseph Kitine (Guest) on October 2, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 27, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shabani (Guest) on August 23, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Paul Ndomba (Guest) on August 13, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Yahya (Guest) on August 10, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on August 3, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Furaha (Guest) on July 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Henry Mollel (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Irene Makena (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Patrick Mutua (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Muthoni (Guest) on May 20, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Aziza (Guest) on April 24, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on March 9, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rashid (Guest) on March 7, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on February 14, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on February 7, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Kibona (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Hassan (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Mbithe (Guest) on November 5, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on October 31, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on September 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nora Lowassa (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on July 25, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 13, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Kiwanga (Guest) on June 24, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Robert Ndunguru (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Umi (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 2, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Malima (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo