Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on July 4, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Sokoine (Guest) on July 1, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Tenga (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on June 19, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on June 4, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rukia (Guest) on April 6, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on March 19, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fredrick Mutiso (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 12, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 31, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Mzee (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fadhila (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on November 23, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Faiza (Guest) on November 17, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 6, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on October 17, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on September 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Rose Mwinuka (Guest) on September 8, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on August 31, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on August 22, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on July 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Were (Guest) on July 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Jamila (Guest) on May 16, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine Nduta (Guest) on May 5, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on March 1, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on February 18, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kheri (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Farida (Guest) on January 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on December 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on December 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 1, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 25, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on September 20, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Omondi (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 8, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ruth Mtangi (Guest) on July 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on June 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on May 12, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mchome (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 11, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More