Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kikwete (Guest) on December 25, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Hashim (Guest) on October 23, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on October 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on October 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on September 10, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ann Wambui (Guest) on August 4, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Carol Nyakio (Guest) on July 24, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on June 28, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Wanjala (Guest) on May 21, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Farida (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on April 24, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wande (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Samuel Were (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Khalifa (Guest) on February 3, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shamim (Guest) on January 25, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on January 12, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on December 19, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 10, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on November 8, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on October 22, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 11, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Daniel Obura (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Issack (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 26, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Kibicho (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on July 31, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ali (Guest) on July 24, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mary Njeri (Guest) on July 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ahmed (Guest) on June 8, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jafari (Guest) on June 1, 2016

Asante Ackyshine

Peter Otieno (Guest) on May 24, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on April 28, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on April 20, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on March 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Amir (Guest) on March 2, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 28, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 19, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Bahati (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Henry Mollel (Guest) on December 25, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on December 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 7, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 16, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on September 3, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on August 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 13, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More