Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"

Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti."
Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!"

Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on June 29, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on June 2, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on May 8, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Mchome (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Frank Sokoine (Guest) on February 27, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 26, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Kimario (Guest) on December 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on December 11, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on December 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nyota (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on December 7, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on October 26, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

John Lissu (Guest) on August 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Abubakar (Guest) on August 24, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mwagonda (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwagonda (Guest) on July 23, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lucy Mushi (Guest) on June 17, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 31, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 28, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 15, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Akech (Guest) on April 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ramadhan (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on April 1, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on March 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Musyoka (Guest) on March 15, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Tabu (Guest) on January 30, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Njeri (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Jaffar (Guest) on January 24, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mariam Kawawa (Guest) on December 26, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on October 28, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on September 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on August 25, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on August 11, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

James Malima (Guest) on August 2, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on July 27, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Stephen Amollo (Guest) on July 21, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 27, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on June 7, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on May 31, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on May 18, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwakisu (Guest) on May 4, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lucy Mushi (Guest) on April 11, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Sekela (Guest) on March 15, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Daniel Obura (Guest) on January 30, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on January 7, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 3, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More