Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on December 20, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on December 5, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sofia (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Faith Kariuki (Guest) on October 26, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on October 2, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 10, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on August 21, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwanajuma (Guest) on August 18, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Chiku (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on July 18, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Baridi (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on July 4, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sarafina (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sultan (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on March 31, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on March 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on March 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 1, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on February 12, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 10, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on January 7, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on January 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 10, 2020

😊🀣πŸ”₯

Anna Mahiga (Guest) on October 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Issack (Guest) on October 1, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on September 16, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 10, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 3, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Lissu (Guest) on July 24, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Ochieng (Guest) on June 28, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Salum (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Zakia (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on March 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More