Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Andrew Mahiga (Guest) on July 24, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Guest (Guest) on August 13, 2026

Mke mmoja aliingia kwenye duka la vitu vya thamani akaona pete 1 ya dhahabu nzuri sana

Elizabeth Mtei (Guest) on July 17, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on July 16, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on July 11, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on July 4, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Betty Akinyi (Guest) on May 11, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Malisa (Guest) on April 22, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shukuru (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Frank Macha (Guest) on March 25, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwanaidha (Guest) on March 9, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jafari (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on February 17, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 14, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on February 13, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Kimario (Guest) on January 13, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on January 8, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on December 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nora Kidata (Guest) on November 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

George Ndungu (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on October 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on October 16, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Wafula (Guest) on October 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on October 11, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tambwe (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Elizabeth Malima (Guest) on August 10, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on August 7, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 15, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rehema (Guest) on June 10, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on May 12, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on May 11, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sekela (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 16, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Waithera (Guest) on March 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Francis Mtangi (Guest) on March 7, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

George Mallya (Guest) on February 24, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mazrui (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daniel Obura (Guest) on January 25, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on December 25, 2022

😊🀣πŸ”₯

Francis Mtangi (Guest) on November 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on November 18, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nancy Kawawa (Guest) on November 18, 2022

Asante Ackyshine

Related Posts

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More