Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa

Featured Image

Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;


1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.


2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au ninae mtu tayari.


3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, "wanawake wamaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao"


4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!


5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.


6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee!


7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.


8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!


9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya karume etc


10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
MBARIKIWE SANA WANAUME WOTE WENYE BUSARA..






Kama Mwanamme Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili uweze kuwafahamu zaidi wanawake




[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya kusaidiana na mke wako katika afya na ustawi

Jinsi ya kusaidiana na mke wako katika afya na ustawi

Kusaidiana na mke wako katika afya na ustawi ni jambo muhimu katika kujenga ndoa yenye furaha na afy... Read More
Kutambua na Kukabiliana na Shida za Kufanya Mapenzi: Utafiti na Msaada

Kutambua na Kukabiliana na Shida za Kufanya Mapenzi: Utafiti na Msaada

Wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu kuzungumzia shida za kufanya mapenzi. Kwa bahati mbaya, shida... Read More

Jinsi ya Kujenga Ushirikiano wenye Furaha na Kusudi katika Mahusiano yako

Jinsi ya Kujenga Ushirikiano wenye Furaha na Kusudi katika Mahusiano yako

Mahusiano ni jambo muhimu katika maisha yetu ya kila siku. Kujenga ushirikiano wenye furaha na ku... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutoweza Kusamehe na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kukabiliana na Mazoea ya Kutoweza Kusamehe na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Familia ni moja ya sehemu muhimu sana katika maisha yetu. Ndani ya familia husaidiana, kupendana ... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mazuri ya Simu na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mazuri ya Simu na Msichana

Kama una nia ya kuimarisha uhusiano wako na msichana, ni muhimu kuwa na mawasiliano mazuri ya sim... Read More

Jinsi ya Kudumisha Umoja na Kuishi kwa Amani katika Familia

Jinsi ya Kudumisha Umoja na Kuishi kwa Amani katika Familia

Jinsi ya Kudumisha Umoja na Kuishi kwa Amani katika Familia

Kuishi katika familia yenye um... Read More

Jinsi ya Kujenga Mazingira ya Upendo na Ukarimu katika Familia: Kuleta Umoja na Furaha

Jinsi ya Kujenga Mazingira ya Upendo na Ukarimu katika Familia: Kuleta Umoja na Furaha

Katika familia, upendo na ukarimu ni mambo muhimu sana katika kuimarisha mahusiano baina ya wanaf... Read More

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Leo tutazungumzia njia za kujenga ushawishi na msichana katika uhusiano. Kujenga ushawishi kunama... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kigombana katika Familia Yako

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kigombana katika Familia Yako

Katika familia, migogoro mara nyingi hutokea na wakati mwingine ni ngumu sana kupunguza mivutano.... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako

Familia nyingi zimekuwa zikikumbwa na mizozo ya kifedha kutokana na sababu mbalimbali, ikiwa ni p... Read More

Kuvunja Vizuizi vya Aibu katika Kufanya Mapenzi: Njia za Kuweka Urahisi na Utulivu

Kuvunja Vizuizi vya Aibu katika Kufanya Mapenzi: Njia za Kuweka Urahisi na Utulivu

Kuvunja Vizuizi vya Aibu katika Kufanya Mapenzi: Njia za Kuweka Urahisi na Utulivu

Kufanya... Read More

Jinsi ya Kuvunja Tabia Mbaya na Kujenga Mazingira ya Mabadiliko katika Familia

Jinsi ya Kuvunja Tabia Mbaya na Kujenga Mazingira ya Mabadiliko katika Familia

Kwa kila familia, tabia mbaya zinaweza kuwa tatizo kubwa. Hata hivyo, kutokuwa na mazingira mazur... Read More