Mimba i inatungwa wakati yai la kike linaporutubishwa na mbegu za kiume. Kama tulivyoona hapo juu, jinsia ya mtoto i inategemea aina ya mbegu za kiume. Nusu ya mbegu za mwanaume zinatengeneza mtoto wa kiume na nusu ya mbegu zinatengeneza mtoto wa kike. Lakini wanaume hawana uwezo wa kuamua aina ya mbegu i itakayorutubisha yai. Kwa hiyo, haiwezekani kupanga. Jinsia ya mtoto i nategemeana na bahati tu.

Je, unaweza kupanga kuzaa aina ya watoto, yaani wa kiume au wa kike tu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono? π
Habari rafiki! Leo t... Read More

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kama Ishara ya Mapenzi?
Je, ni lazima kufanya ngono kama ishara ya mapenzi?π€
Haya, wapendwa vijana, hebu tuanze... Read More

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z... Read More

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?
Habari za leo wapenzi wangu! Nami nina furaha sana kuwa hapa leo kuongelea kuhusu swala la ngono ... Read More

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana. Kila mtu anap... Read More

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
-
Kuwasiliana kwa Ukaribu Ha... Read More

Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?
Ni kweli kwamba wakati wa kujamii ana na kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume i inayopenya kwe... Read More

Sabau za ubakaji
Ni vigumu kuelewa nini kinamfanya mtu aweze kubaka mwingine.
Ubakaji ni aina nyingine ya uka...
Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono?
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono π
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutaj... Read More

Sheria kuhusu kufanya punyeto
Punyeto ni kupapasa au kusugua kiungo cha uzazi ili uweze kupata
starehe. Hakuna kosa kwa te...
Read More

Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidu... Read More

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)?
Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa (STIs)?
Jambo wapenzi wa vijana! Le... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!