Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.

Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wako kuhusu Matumizi ya Kinga (Condom)
Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wako kuhusu Matumizi ya Kinga (Condom) ππΊ
Karibu kweny... Read More

Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?
Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuwek... Read More

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? πβ¨
Karibu rafiki yangu!... Read More

Vijana Albino wafanye nini ili kulinda ngozi yao?
Pamoja na matatizo ya kuona, ngozi ya Albino ni rahisi sana
kudhurika kwa mionzi ya jua. Hat...
Read More

Nini maana ya Ualbino?
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao...
Read More

Je, wazazi ambao wote ni Albino wanaweza kupata mtoto ambaye siyo Albino?
Kwa kawaida, wazazi wote wakiwa Albino watazaa mtoto
Albino. Kwa maana hiyo basi, iwapo watu...
Read More

Ni umri gani ambapo vijana wanapaswa kuelezwa juu ya afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?
Vijana balehe wote wana haki ya kupata habari juu ya mambo yote
wanayoyapenda. Watoto wanavy...
Read More

Kwa nini inapendekezwa Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?
Kwa nini inapendekezwa Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? π
Karibu vijana wenzangu! Leo tut... Read More

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv...
Read More

Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina ni...
Read More

Njia za Kupata Msichana Anayeshiriki Maslahi yako na Malengo
Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani... Read More

Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?
Wakati wa makuzi au kipindi cha kubalehe, wavulana hupitia mabadiliko mbali... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!