Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Jinsi ya Kutambua Ishara za Kuwa Tayari kwa Ngono
Jinsi ya Kutambua Ishara za Kuwa Tayari kwa Ngono π
Karibu kijana, leo tutaongelea jamb... Read More
Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako
-
Tafuta Muda wa Kipekee Kutafut... Read More
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif... Read More
Je, Ni Lazima Kutumia Kinga (Condom) Kila Wakati?
Je, ni lazima kutumia kinga (condom) kila wakati? π
Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu... Read More
Nini matokeo ya unusaji/uvutaji wa petroli kwa vijana?
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapaf... Read More
Ualbino husababishwa na nini?
Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Msichana Wako kila Siku
Wewe ni mpenzi mzuri na unapenda msichana wako kwa dhati. Lakini je, unamwonyesha upendo kila sik... Read More
Haki za uzazi ni zipi?
Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?
Nifanye nini ili kujua kama nina au sina maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?
Ipo njia moja ya kuhakikisha kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI au hapana. Njia hii ni... Read More
Jinsi ya Kutambua Ishara za Upendo kutoka kwa Msichana
Upendo ni hisia ambazo zinafanya maisha kuwa na maana zaidi. Kila mtu anapaswa kupata upendo, na ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!