Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.

Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif... Read More

Je, uume una urefu kiasi gani? Ni kweli kwamba wanaume warefu wana uume mkubwa na wale wafupi wana uume mdogo?
Kwa kawaida urefu wa uume ambao haujasisimuka kwa wastani ni kati ya sentimeta 7 na 10, na uume ... Read More

Njia za Kudumisha Mapenzi katika Uhusiano wako na Msichana
Mapenzi ni muhimu katika uhusiano wowote wa kimapenzi. Ni muhimu kuchukua hatua za kudumisha mape... Read More

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)?
Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa (STIs)?
Jambo wapenzi wa vijana! Le... Read More

Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Karibu kwenye blogi hii ambapo tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufa... Read More

Je, nifanye nini ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Hakuna chanjo dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI, Lakini kuna mienendo ya tabia a... Read More

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z... Read More

Je, mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI?
Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo b... Read More

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?
Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Je, ni muhimu kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi?
Kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sana katika jamii yetu.... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!