Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Mapishi ya chipsi na samaki wa kuchoma

Featured Image

Mahitaji

Viazi ulaya (baking potato 5 vya wastani)
Parprika 1 kijiko cha chai
Pilipili mtama ilyosagwa (ground black pepper 1 kijiko cha chai
Kitunguu swaum cha unga (garlic powder 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Marination za samaki (angalia kwenye recipe ya samaki ya nyuma)

Matayarisho

Osha viazi na maganda yake kisha vikaushe na uvikate vipande vya wastani. Kwa kila kiazi toa vipande 6. Kisha vitie kwenye bakuli na utie parpika, pilipili mtama ya unga, kitunguu swaum cha unga, chumvi na mafuta kama vijiko 2 vya chakula. Changanya pamoja na kisha uvibake katika oven kwa muda wa dakika 25. Hakikisha vinakuwa rangi ya brown. Vikisha iva vitoe.
Wamarinate samaki, na uwaoke kisha wasevu na potato wedges tayari kwa kuliwa
(Jinsi ya kupika samaki, angalia katika recipe za nyuma)

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Upishi na Mafuta ya Zeituni: Faida za Afya na Matumizi ya Mapishi

Upishi na Mafuta ya Zeituni: Faida za Afya na Matumizi ya Mapishi

Upishi na Mafuta ya Zeituni: Faida za Afya na Matumizi ya Mapishi 🍽️

Karibu katika ma... Read More

Mapishi ya Bokoboko La Kuku

Mapishi ya Bokoboko La Kuku

Mahitaji

Ngano nzima (shayiri) - 3 Vikombe

Kuku - ½ (3 LB takriban)

Thomu na... Read More

MAPISHI YA LADU

MAPISHI YA LADU

VIAMBAUPISHI

Unga - 6 vikombe

Samli - ½kikombe

Baking Powder - ½kijiko cha ... Read More

Mapishi ya Boga La Nazi

Mapishi ya Boga La Nazi

Vipimo

Boga la kiasi - nusu yake

Tui zito la nazi 1 ½ gilasi

Sukari ½ kikom... Read More

Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Kamba Wa Nazi, Kisamvu Na Kachumbari Ya Papa Mkavu

Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Kamba Wa Nazi, Kisamvu Na Kachumbari Ya Papa Mkavu

Vipimo - Ugali

Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe.

Unga wa sembe - 2... Read More

Mapishi ya Pilau Ya Mchicha

Mapishi ya Pilau Ya Mchicha

VIPIMO

Mchele - 3 Vikombe

Mchicha

Mafuta - 1/2 kikombe

Vitunguu maji - ... Read More

Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi

Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi

Mahitaji

Mchele wa biriani - 5 gilasi

Nyama ya ngombe ya mifupa - 1 ½ kilo na nusu... Read More

Mapishi ya Wali Wa Kukaanga Kwa Nyama Mbuzi Ilichomwa Ya Sosi Ya Ukwaju

Mapishi ya Wali Wa Kukaanga Kwa Nyama Mbuzi Ilichomwa Ya Sosi Ya Ukwaju

Vipimo Vya Wali

Mchele Basmati - 4 vikombe

Vitunguu vya majani (Spring onions) - 5 ... Read More

Upishi na Protini Ndogo: Kujenga Misuli na Kukaa Fiti

Upishi na Protini Ndogo: Kujenga Misuli na Kukaa Fiti

Upishi na Protini Ndogo: Kujenga Misuli na Kukaa Fiti 💪💪

Kuna njia nyingi za kubores... Read More

Jinsi ya kupika Biriani Ya Nyama Mbuzi Ya Mtindi Na Zaafaraan

Jinsi ya kupika Biriani Ya Nyama Mbuzi Ya Mtindi Na Zaafaraan

Vipimo - Nyama

Nyama mbuzi - 1 kilo

Kitunguu menya katakata - 1

Nyanya/tungul... Read More

Mapishi ya Biriani Nyepesi Kupika Ya Samaki

Mapishi ya Biriani Nyepesi Kupika Ya Samaki

Vipimo

Mchele wa pishori (basmati) - 4

Vitunguu katakata - 3

Nyanya (tungule)... Read More

Mapishi ya visheti vitamu

Mapishi ya visheti vitamu

VIAMBAUPISHI

Unga - Vikombe 2

Samli au shortening ya mboga - 2 Vijiko vya supu

<... Read More