Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Mapishi ya Wali Wa Mboga Na Mchuzi Wa Kuku wa Tanduri

Featured Image

Vipimo vya Wali:

Mchele basmati - 3 magi (kikombe kikubwa)

Mchanganyiko wa mboga za barafu

(Frozen vegetables) - 1 ½ mug

Chumvi - kiasi

Mafuta - 3 vijiko vya chakula

Kitungu maji (kilichokatwa) - 1

Bizari ya pilau (nzima) - 1 kijiko cha chakula

Namna Ya kutayarisha na kupika:

Osha mchele uroweke kwenye maji muda wa dakika 20.
Chemsha maji kwenye sufuria kama magi 6.
Tia chumvi.
Yakisha kuchemka unatia mchele, chemsha usiive sana, uive nusu kiini. Mwaga maji na kuchuja wali.
Unamimina Yale mafuta kwenye sufuria unakaanga bizari ya pilau kidogo na kitunguu kabla ya kugeuka rangi ya hudhurungi (brown).
Tia mchanganyiko wa mboga za barafu.,
Mimina wali, changanya vizuri, ufunike na uweke katika moto mdogo kwa dakika 20.
Pakua tayari kwa kuliwa.

Vipimo Vya Mchuzi

Kuku - 2 Ratili (LB)

Chumvi - Kiasi

Mafuta - ¼ Kikombe

Nyanya Kata vipande - 4

Nyanya kopo - 2 vijiko wa chakula

Tangawizi - 1 kijiko ya chakula

Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 kijiko ya chakula

Tanduri masala - 1 kijiko cha chakula

Kotmiri liliyokatwa - 3 vijiko vya chakula

Pilipili mbichi - 2

Pili masala - 1 kijiko cha chakula

Garam masala - ½ kijiko cha chakula

Bizari manjano - ½ kijiko cha chakula

Mtindi - 3 vijiko vya chakula

Pilipili boga (kata vipande virefu) - 1

Ndimu - 2 vijiko vya chakula

Namna ya kutayarisha na kupika:

Kwenye bakuli tia kuku na changanya vitu vyote pamoja isipokua mafuta.
Tia mafuta kwenye sufuria yakisha kupata moto mimina kuku umpike kwa muda ½ saa kwa moto kiasi.
Pakua kuku kwenye bakuli au sahani na ukate vitunguu maji duara na umpambie. Tayari kwa kuliwa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Cornflakes

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Cornflakes

MAHITAJI

Unga - 1 Kikombe

Sukari ya kusaga - 3/4 Kikombe

Siagi - 125 gms

<... Read More
Kupima lishe au afya ya mtu

Kupima lishe au afya ya mtu

Njia za kupima Afya

Njia mbalimbali hutumika kupima hali ya lishe, njia hizi ni;

Read More
Sanaa ya Upishi Wenye Ladha na Lishe Bora

Sanaa ya Upishi Wenye Ladha na Lishe Bora

Sanaa ya upishi ni njia nzuri ya kujifurahisha na kuongeza ladha kwenye chakula chako. Lakini je,... Read More

Mapishi ya tambi za mayai

Mapishi ya tambi za mayai

Tambi za mayai ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kuandaa pale ninapokua ninaharaka au sina... Read More

Mapishi ya Ndizi Za Supu Ya Nyama Ya Ng’ombe

Mapishi ya Ndizi Za Supu Ya Nyama Ya Ng’ombe

Mahitaji

Ndizi - 15 takriiban

Nayma ya ng’ombe - 1 kilo

Kitunguu maji - 1Read More

Mapishi ya Sambusa za nyama

Mapishi ya Sambusa za nyama

Mahitaji

Nyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)
Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(dice... Read More

Mapishi ya Viazi vitamu na kachumbari

Mapishi ya Viazi vitamu na kachumbari

Mahitaji

Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumv... Read More

Namna ya kupika Biskuti Za Kuchoveya Chokoleti

Namna ya kupika Biskuti Za Kuchoveya Chokoleti

VIAMBAUPISHI

Unga 300gm

Siagi 225gm

Icing Sugar 60gm

Chokoleti iliyokoz... Read More

Utayarishaji bora wa chakula

Utayarishaji bora wa chakula

· Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
· Tumia vyombo sa... Read More

Mapishi ya Ugali, dagaa (wabichi) na matembele

Mapishi ya Ugali, dagaa (wabichi) na matembele

Mahitaji

Dagaa wabichi (Fresh anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4... Read More

Jinsi ya kupika Juisi Ya Mabungo

Jinsi ya kupika Juisi Ya Mabungo

Mahitaji

Kupata takriban gilasi 6

Mabungo - 3

Maji - 6 au 7 Gi... Read More

Jinsi ya kupika Pilau Ya Samaki WaTuna Na Mboga

Jinsi ya kupika Pilau Ya Samaki WaTuna Na Mboga

Viambaupishi

Mchele 2 Mugs

Mboga mchanganyiko za barafu 1 Mug

(Frozen veg)Read More