Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
VIAMBAUPISHI
Maziwa mazito matamu (condensed milk) - 2 vibati
Sukari - 1 kikombeRead More
Mahitaji
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu m...
Read More
Vipimo vya Wali:
Mchele - 3 vikombe
*Maji ya kupikia - 5 vikombe
*Kidonge cha s...
Read More
Vitafunio vya Afya kwa Kutosheleza Hamu Zako 🍇🍎🥕
Hakuna jambo bora zaidi kama kuf...
Read More
• Maziwa ya mama pekee ndio chakula na kinywaji cha mtoto bora zaidi kwa watoto kwa miezi sita ...
Read More
MAHITAJI
1 kilo unga wa ngano
240 ml maji ya vugu vugu
2 olive oil kijiko kikub...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano 1 Kilo
Siagi ¼ kilo
Mayai 2
Kastadi (custa...
Read More
Viambaupishi Vya Masala
Nyama vipande - 3 LB
Mtindi - ½ kopo
Kitunguu (thomu...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga wa ngano 1 1/2 Kikombe
Baking powder 1 Kijiko cha chai
Bak...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Bakin...
Read More
Vipimo - Nyama
Nyama ng’ombe ya mifupa ilokatwa vipande - 1 kilo
Tangawizi na tho...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Magi (vikombe vya chai)
Sukari iliyosagwa 2/3 Magi (kikombe ch...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!