Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Featured Image

KUMBUKA





Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.





Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Akoth (Guest) on April 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ann Wambui (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Sumaye (Guest) on March 10, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Peter Mwambui (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Emily Chepngeno (Guest) on August 29, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on August 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 12, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Tibaijuka (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mwanajuma (Guest) on March 13, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2016

Sifa kwa Bwana!

Margaret Anyango (Guest) on October 19, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on September 11, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Christopher Oloo (Guest) on September 10, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Awino (Guest) on June 5, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Masanja (Guest) on May 4, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More