Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Featured Image

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./





Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./





Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./





Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./





(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on July 13, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Daniel Obura (Guest) on June 6, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Esther Nyambura (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Joyce Mussa (Guest) on January 11, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Esther Nyambura (Guest) on December 4, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Thomas Mtaki (Guest) on September 6, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Joyce Nkya (Guest) on June 17, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Sarah Mbise (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

John Kamande (Guest) on April 19, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Mbise (Guest) on April 6, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Anna Kibwana (Guest) on February 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2016

Rehema hushinda hukumu

James Mduma (Guest) on February 10, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Wairimu (Guest) on December 17, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Amukowa (Guest) on November 27, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Njeru (Guest) on July 27, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Philip Nyaga (Guest) on June 21, 2015

Endelea kuwa na imani!

Kenneth Murithi (Guest) on April 19, 2015

Rehema zake hudumu milele

Related Posts

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More