Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Featured Image

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Kiwanga (Guest) on May 30, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on February 18, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on January 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

James Malima (Guest) on July 29, 2016

Amina

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Irene Akoth (Guest) on April 3, 2016

Neema na amani iwe nawe.

David Chacha (Guest) on March 11, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Linda Karimi (Guest) on February 21, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumaye (Guest) on February 19, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Raphael Okoth (Guest) on January 22, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Nyerere (Guest) on December 19, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ann Awino (Guest) on December 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on December 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Jacob Kiplangat (Guest) on December 5, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joyce Mussa (Guest) on October 17, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joyce Mussa (Guest) on September 2, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Janet Wambura (Guest) on July 25, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sharon Kibiru (Guest) on April 9, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More