Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.


Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.

Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Sumari (Guest) on March 6, 2017

Sifa kwa Bwana!

George Tenga (Guest) on February 15, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Michael Mboya (Guest) on October 23, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Mallya (Guest) on October 22, 2016

Rehema zake hudumu milele

Francis Mrope (Guest) on October 1, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Michael Mboya (Guest) on June 20, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Sarah Mbise (Guest) on March 27, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2016

Dumu katika Bwana.

Jane Muthoni (Guest) on February 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Alice Wanjiru (Guest) on January 18, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2016

Endelea kuwa na imani!

Anna Sumari (Guest) on January 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Alice Wanjiru (Guest) on December 27, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Joyce Aoko (Guest) on November 17, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 16, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Violet Mumo (Guest) on October 27, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Janet Mwikali (Guest) on October 2, 2015

Nakuombea πŸ™

Chris Okello (Guest) on September 20, 2015

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Agnes Lowassa (Guest) on August 10, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More