Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.


Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.

Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Sumari (Guest) on March 6, 2017

Sifa kwa Bwana!

George Tenga (Guest) on February 15, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Michael Mboya (Guest) on October 23, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Mallya (Guest) on October 22, 2016

Rehema zake hudumu milele

Francis Mrope (Guest) on October 1, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Michael Mboya (Guest) on June 20, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Sarah Mbise (Guest) on March 27, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2016

Dumu katika Bwana.

Jane Muthoni (Guest) on February 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Alice Wanjiru (Guest) on January 18, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2016

Endelea kuwa na imani!

Anna Sumari (Guest) on January 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Alice Wanjiru (Guest) on December 27, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Joyce Aoko (Guest) on November 17, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 16, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Violet Mumo (Guest) on October 27, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Janet Mwikali (Guest) on October 2, 2015

Nakuombea πŸ™

Chris Okello (Guest) on September 20, 2015

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Agnes Lowassa (Guest) on August 10, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)