Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

Featured Image

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama zao, dhidi ya utoaji mimba au hatari nyingine dhidi ya uhai wa binadamu)

Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa Yesu, mlinzi na mtunzaji wa Familia Takatifu, na wa familia zote. Tuna imani kabisa katika uangalizi wako uliojaa upendo, juu ya uhai mpya, na uaminifu wako kwa familia.

Tunaweka jitihada zetu chini ya ulinzi wa sala zako. Utusaidie daima katika kutetea zawadi ya uhai wa binadamu, ili ukue hadi uzima wa milele ulioahidiwa na kujaliwa kwetu na Mwanao, Ndugu yetu, Yesu Kristu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Joyce Aoko (Guest) on October 13, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Wilson Ombati (Guest) on September 26, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Mary Njeri (Guest) on September 2, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Betty Akinyi (Guest) on June 23, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Henry Mollel (Guest) on April 20, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Joyce Nkya (Guest) on April 12, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Kawawa (Guest) on January 24, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Chris Okello (Guest) on December 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Mwangi (Guest) on November 25, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alice Jebet (Guest) on November 19, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ann Awino (Guest) on August 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Faith Kariuki (Guest) on July 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Charles Mrope (Guest) on March 21, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Chris Okello (Guest) on October 18, 2015

Nakuombea πŸ™

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Simon Kiprono (Guest) on September 12, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Lowassa (Guest) on August 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

George Ndungu (Guest) on June 10, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumari (Guest) on May 31, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lydia Mahiga (Guest) on May 30, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More