Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.

Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.

Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Karani (Guest) on December 27, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Samuel Were (Guest) on December 27, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Peter Tibaijuka (Guest) on December 19, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Benjamin Masanja (Guest) on October 11, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Njoroge (Guest) on August 10, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 15, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nora Lowassa (Guest) on May 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on May 2, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ruth Wanjiku (Guest) on December 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Alex Nyamweya (Guest) on November 14, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Peter Mbise (Guest) on October 15, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

James Kimani (Guest) on September 26, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Monica Nyalandu (Guest) on August 20, 2016

Endelea kuwa na imani!

Joseph Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Andrew Odhiambo (Guest) on May 20, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Chris Okello (Guest) on May 20, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on May 6, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Victor Kimario (Guest) on November 22, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 28, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kawawa (Guest) on October 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Nancy Komba (Guest) on August 18, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Charles Mchome (Guest) on July 11, 2015

Nakuombea πŸ™

John Lissu (Guest) on June 18, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Ruth Wanjiku (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More