Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Malkia wa Mbingu

Featured Image

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on June 28, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Kawawa (Guest) on May 28, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Chacha (Guest) on February 6, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015

Dumu katika Bwana.

Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015

Mungu akubariki!

Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Sokoine (Guest) on April 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Related Posts

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More