Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

Malkia wa Mbingu
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More
David Ochieng (Guest) on June 28, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
David Kawawa (Guest) on May 28, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016
πππ
Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
David Chacha (Guest) on February 6, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015
Dumu katika Bwana.
Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015
Mungu akubariki!
Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
David Sokoine (Guest) on April 15, 2015
ππ Mungu akujalie amani