Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA MAPENDO

Featured Image

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupendeza.

Nampenda na jirani yangu kama nafsi yangu,

kwa ajili yako.

Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on September 4, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Violet Mumo (Guest) on June 21, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Miriam Mchome (Guest) on June 6, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

James Kimani (Guest) on December 27, 2016

Rehema hushinda hukumu

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Edward Chepkoech (Guest) on November 15, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Kimotho (Guest) on October 13, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Ann Wambui (Guest) on August 6, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Lydia Mahiga (Guest) on March 5, 2016

Nakuombea πŸ™

Joseph Mallya (Guest) on December 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Edward Lowassa (Guest) on November 23, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

James Malima (Guest) on November 21, 2015

Sifa kwa Bwana!

Michael Onyango (Guest) on September 3, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Mercy Atieno (Guest) on July 26, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Raphael Okoth (Guest) on July 22, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Lydia Mahiga (Guest) on July 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Martin Otieno (Guest) on June 25, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthui (Guest) on June 21, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Jane Muthui (Guest) on June 17, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Mwikali (Guest) on May 6, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More