Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA MATUMAINI

Featured Image

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na utukufu mbinguni,

kwani ndiwe uliyeagana hayo nasi,

nawe mwamini. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on August 24, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joyce Mussa (Guest) on June 19, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Violet Mumo (Guest) on March 8, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Sokoine (Guest) on March 1, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Musyoka (Guest) on February 10, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Esther Nyambura (Guest) on December 1, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on November 30, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Andrew Mchome (Guest) on October 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Peter Tibaijuka (Guest) on June 7, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Mariam Kawawa (Guest) on May 18, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on April 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lydia Wanyama (Guest) on February 21, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

John Lissu (Guest) on February 14, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Francis Njeru (Guest) on December 16, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Victor Kamau (Guest) on September 11, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Lissu (Guest) on June 24, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Alice Wanjiru (Guest) on May 31, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on May 24, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on May 8, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More