Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA IMANI

Featured Image

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;

Kwani ndiwe uliyefundisha hayo,

wala hudanganyiki,

wala hudanganyi. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on October 25, 2017

Sifa kwa Bwana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 19, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Mary Mrope (Guest) on August 19, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Sarah Karani (Guest) on July 5, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Lucy Kimotho (Guest) on March 6, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 30, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Fredrick Mutiso (Guest) on August 23, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Nancy Akumu (Guest) on June 20, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Francis Njeru (Guest) on February 24, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Minja (Guest) on February 20, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthui (Guest) on December 9, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nora Kidata (Guest) on August 31, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Irene Makena (Guest) on August 24, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Mbise (Guest) on July 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Charles Mrope (Guest) on July 23, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lucy Wangui (Guest) on May 9, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More