Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Featured Image

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `

`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `

K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

David Ochieng (Guest) on July 26, 2017

Rehema zake hudumu milele

Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Lissu (Guest) on April 21, 2017

Amina

Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

John Lissu (Guest) on August 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Related Posts

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Read More