Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Njeri (Guest) on February 25, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Irene Makena (Guest) on December 11, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Mduma (Guest) on November 20, 2017

Amina

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Mungu akubariki!

Janet Sumaye (Guest) on May 31, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Mutua (Guest) on March 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Chris Okello (Guest) on December 27, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Faith Kariuki (Guest) on December 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on October 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on March 27, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Musyoka (Guest) on February 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mary Njeri (Guest) on January 17, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Carol Nyakio (Guest) on November 28, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jacob Kiplangat (Guest) on November 18, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on November 11, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Kendi (Guest) on October 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Sokoine (Guest) on October 3, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mallya (Guest) on August 2, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Chris Okello (Guest) on July 13, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More