Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majitoleo ya Asubuhi

Featured Image

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on November 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Anna Mchome (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Mwikali (Guest) on September 8, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Njuguna (Guest) on July 3, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Kevin Maina (Guest) on December 24, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Kawawa (Guest) on September 10, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Rose Kiwanga (Guest) on July 5, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2016

Sifa kwa Bwana!

Grace Mligo (Guest) on May 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2016

Endelea kuwa na imani!

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

Rehema hushinda hukumu

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 22, 2015

Nakuombea πŸ™

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Sekela (Guest) on April 27, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Related Posts

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More