Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majitoleo kwa Bikira Maria

Featured Image

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na mwili wangu, nikikuomba uipokee amana yangu, kuitunzia ulinzi mwema ulinzi bora, ninakuaminia na kila neno langu, matumaini na kitulizo na kisongo chote, na masumbuko na uzima na ukomo wa uzima wangu: nitakayo ndiyo unifanyizie kwa maombezi na stahili zako, ili mambo yangu yote yapate kuongoka, yakiwa na kufuata mapenzi yako, pamoja na mapenzi ya Mwanao. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Mwita (Guest) on March 20, 2017

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mahiga (Guest) on February 20, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jackson Makori (Guest) on February 15, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Monica Adhiambo (Guest) on February 14, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Malecela (Guest) on January 27, 2017

Rehema hushinda hukumu

Mary Kendi (Guest) on November 3, 2016

Endelea kuwa na imani!

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Agnes Sumaye (Guest) on August 27, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on June 15, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on April 22, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2016

Sifa kwa Bwana!

Leila (Guest) on April 1, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Isaac Kiptoo (Guest) on March 15, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Mushi (Guest) on March 4, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

James Kawawa (Guest) on February 19, 2016

Dumu katika Bwana.

George Tenga (Guest) on February 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on January 4, 2016

Amina

George Wanjala (Guest) on December 1, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joseph Kiwanga (Guest) on October 6, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on April 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Daniel Obura (Guest) on April 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Joyce Mussa (Guest) on April 10, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More