Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on January 11, 2018

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on November 7, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Malisa (Guest) on September 8, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mushi (Guest) on July 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on March 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Wairimu (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Catherine Naliaka (Guest) on November 16, 2016

Rehema zake hudumu milele

Simon Kiprono (Guest) on November 9, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Mahiga (Guest) on October 14, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on June 5, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Okello (Guest) on April 27, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Tabitha Okumu (Guest) on March 31, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mushi (Guest) on December 24, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on November 14, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Francis Njeru (Guest) on November 2, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Lowassa (Guest) on June 1, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Martin Otieno (Guest) on May 18, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Related Posts

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More