Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Featured Image

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na uliyemtazama Mwana wako akifa, unitazame kwa huruma ya kimama ninayekusikitikia. Kwa sababu ya upanga uliochoma moyo wako, kwa mateso ya maisha yako nakuomba uniangalie kwa wema ukasikilize maombi yangu. Nakuomba, ee Mama, uniombee daima kwa Mwana wako, najua hawezi kukuvyima wewe kitu chochote. Basi, ufanye, Moyo wa Mwanao ukubali kunijalia ombi langu hili …………………(taja ombi lako).
Maana nitamkimbilia nani katika mahitaji na misiba yangu isipokuwa kwako, ee Mama wa huruma? Wewe hasa unaweza kutusaidia sisi tulio bado katika bonde la machozi kwa sababu ulishiriki mateso ya Mwanao kutukomboa. Umtolee Yesu tone moja la Damu yake takatifu. Umkumbushe ya kuwa wewe ni matumaini, furaha na maisha yetu ukanipatie jambo ninalokuomba kwa Yesu Kristo, bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on February 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Miriam Mchome (Guest) on January 20, 2018

Dumu katika Bwana.

Rose Lowassa (Guest) on January 10, 2018

Nakuombea πŸ™

Lydia Mahiga (Guest) on September 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Alice Jebet (Guest) on August 7, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Emily Chepngeno (Guest) on July 14, 2017

Rehema hushinda hukumu

Rose Kiwanga (Guest) on July 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Philip Nyaga (Guest) on June 28, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Jane Muthui (Guest) on April 22, 2017

Sifa kwa Bwana!

Daniel Obura (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Fredrick Mutiso (Guest) on March 13, 2017

Endelea kuwa na imani!

Lucy Wangui (Guest) on February 13, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

George Tenga (Guest) on December 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on October 28, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Rose Kiwanga (Guest) on October 5, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samson Mahiga (Guest) on March 14, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Henry Sokoine (Guest) on August 25, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Peter Mbise (Guest) on August 3, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 16, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Elizabeth Mrope (Guest) on April 1, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More