Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA KUTUBU

Featured Image

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on April 11, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Zainab (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Mwangi (Guest) on April 30, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Samuel Were (Guest) on April 25, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Grace Minja (Guest) on January 18, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

David Sokoine (Guest) on November 11, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)