Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maswali na Majibu kuhusu Kanisa Katoliki

Featured Image
Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira Maria? Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali Inavyotakiwa.
50 Comments

Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu

Featured Image
Kwa nini ubatizo unafanyika kwa maji? Ubatizo unafanyika kwa maji kwa kuwa ndiyo ishara ya usafi na ya uhai unaotupatia kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
50 Comments

Mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu kuhusu Sakramenti ya Daraja

Featured Image
50 Comments

Amri ya Kwanza ya Mungu: Mambo Muhimu ya Kuzingatia

Featured Image
Katika amri ya kwanza ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tusadiki kuwa Mungu ni mmoja, ndiye Baba yetu na Mkubwa wetu: tumpende, tumwabudu yeye peke yake. (Mt 10:33, Kumb 6:4-9) Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani? Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Featured Image
Je, unajua Kanisa Katoliki linasifika kwa heshima yake kwa watakatifu na mafundisho yake juu ya maombi kwa wao? Hapa tutajadili zaidi juu ya jambo hili!
50 Comments

Mafundisho kuhusu Toharani

Featured Image
Toharani ni mahali gani? Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya kuungama dhambi.
50 Comments

Mafundisho ya Msingi kuhusu Roho Mtakatifu

Featured Image
Roho Mtakatifu ni upendo wa Mungu, nafsi ya tatu ya Utatu Mtakatifu, mwenye Umungu mmoja na Baba na Mwana.
100 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Featured Image
Kanisa Katoliki linajiunga na mtandao wa mawazo kwa kujibu swali "Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?" Leo hii, tunajifunza kwamba Kanisa linapiga vita kwa ajili ya maslahi mazuri ya binadamu, kwa sababu Mungu anataka wote kuishi kwa furaha na amani.
50 Comments

Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Featured Image
Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine na kumpenda Mungu kupita vitu vyote
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Sala

Featured Image
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza. Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa kusema na kusikiliza.
50 Comments