Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
Updated at: 2024-05-25 15:37:19 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA
Updated at: 2024-05-25 15:36:33 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu "UHALI GANI MPENZI?"
Meseji ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe
Updated at: 2024-05-25 15:23:52 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.
Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako ni mrembo na kumsihi asikuache
Updated at: 2024-05-25 15:22:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mti usiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww ni mrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwani na kupenda xana tabua hilo mpnz wangu
SMS ya kimahaba kumueleza mpenzi wako maana ya mapenzi, Mapenzi ni nini?
Updated at: 2024-05-25 15:26:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.