Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Featured Image
236 Comments

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mke­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

 

236 Comments

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

236 Comments

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Featured Image
236 Comments

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Featured Image
236 Comments

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
236 Comments

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 Comments

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
236 Comments

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image
237 Comments

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Featured Image
236 Comments