Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?
Updated at: 2024-05-25 16:54:20 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.
Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mathematics Halafu Mpo Kikundi Fulani Either Mnarudi Nyumbani Au Mnapumzika Kwa Ajili Ya Next Exam.
Unasikia Jamaa Wanabishana Pale Jibu Lilikua 4 Mwingine Anasema 5, Na Wewe Ulijaza 80.
Read more
Close
Hii dunia kweli haina haki, soma hii
Updated at: 2024-05-25 16:59:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi anakwambia unanidai shilingi ngapi..,,? Hapo ndo utatambua kwann kinyesi hakina mwiba ila ukikanyaga lazima uchechemee ..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💤
Read more
Close
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?
Updated at: 2024-05-25 17:00:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Read more
Close
Huku ndiko kuumbuka bila chuki
Updated at: 2024-05-25 17:06:20 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama ukushiba ungesema
Read more
Close
Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi
Updated at: 2024-05-25 18:09:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa? FANYA HAYA; 1. Kopa mkopo mkubwa benki 2. Nunua gari bovu la biashara 3.Oana na mke mwenye kelele. Ukiona miezi mitatu hakijaisha basi ujue umevimba BANDAMA sio kitambi..
Read more
Close
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi
Updated at: 2024-05-25 17:08:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupo kibaruani . Acha sasa mhaya apate kazi katka mashine ya kusaga na kukoboa; utaskia i work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing company 😂😂😂
Read more
Close
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo
Updated at: 2024-05-25 17:59:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute kingine… bangi lilikuwa limemkolea… akazungukazunguka hatimaye akarudi palepale kijiweni… MSHIKAJI: oyaaa wanangu eeeh… niazimeni kiberiti mwanangu mwenyewe …..WENZAKE: baharia ee subiria kimtindo kuna mwana tumemtuma akatafute kiberiti.
Read more
Close
Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi
Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…
Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.
Updated at: 2024-05-25 18:05:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…
Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.
Bibi akampachika jamaa jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa akasema mi sijampa ujauzito kwasababu minina jinsia ya kike pia…! Kwa kuthibitisha akajifunua nguo, basi jamaa akashinda kesi.
Jamaa akawa anarudi Home, lakini wakati anakaribia kufika akaona watu wengi wamejaa home wanalia akauliza kulikoni akaambiwa "Bibi amefariki"!
Vuta picha hapo…!!!
Read more
Close
Simu ilivyozua utata
Updated at: 2024-05-25 17:13:37 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto…Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vzur mwiko wa pua) Mama..Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto..Alisema mteja unaempigia hapatikan kwa sasa…..
Read more
Close
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka macho👀, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱,
dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?
Updated at: 2024-05-25 18:02:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka macho👀, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱,
dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?
jamaa: naona ila naona panya tu
👀🐀🐁🐀👀
Read more
Close