Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Ndege ya Tanzania

Featured Image
236 Comments

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image
236 Comments

Nimeitoa sehemu

Featured Image
236 Comments

Cheki huyu mtoto anachosema

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 Comments

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."
237 Comments

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Featured Image
236 Comments

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Featured Image
236 Comments

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image
237 Comments

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

236 Comments