Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

Β 

237 Comments

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Featured Image
236 Comments

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image
MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!? MLEVI; "Ndio. MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!? MLEVI; "Nakunywa bia tano!
236 Comments

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
237 Comments

Hii sasa ni kali

Featured Image
236 Comments

Huu mchezo hautaki makeup

Featured Image
236 Comments

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Featured Image
237 Comments

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image
237 Comments

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Featured Image
235 Comments

Hapo sasa akili itakuja

Featured Image
236 Comments