Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image
236 Comments

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mke­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

 

236 Comments

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image
236 Comments

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Featured Image
237 Comments

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Featured Image
236 Comments

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image
236 Comments

Dunia ina mambo, soma hii

Featured Image
239 Comments

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Featured Image
236 Comments

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
237 Comments