Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Featured Image
Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;
  1. Kifo
  2. Hukumu
  3. Mbinguni
  4. Motoni
Mambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajia

Kifo

Kifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.

Hukumu

Baada ya kifo, inafuata hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake kama ulitenda mema utaenda mbinguni, na kama umetenda mabaya utaenda motoni.

Mbingu

Kama mtu akifa akiwa katika hali usafi wa moyo anaelekea mbinguni. Haijalishi ni kwa kipindi gani aliishi hivyo. Ila ni kwa hali gani kifo kilimkuta. Kwa sababu hii kila mtu anatakiwa aishi katika hali ya usafi wa moyo kwani hajui ni wakati gani atakutwa na kifo.

Motoni

Kama mtu akifa katika hali ya dhambi anaenda motoni. Kwa hiyo inatupasa tutumie vyema msamaa na huruma ya Mungu katika maisha yetu ili mwishi wetu uwe mzuri wakati bado tukiwa na muda.
Kila unapoishi ni lazima ufikirie mambo haya ukizingatia hujui wakati yanaweza kukupata. Kwa hiyo, nilazima uishi ukiwa unatafakari haya
ili uwe na mwisho mzuri.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2024

Endelea kuwa na imani!

Grace Njuguna (Guest) on March 23, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Malima (Guest) on January 23, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Mercy Atieno (Guest) on December 17, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Kendi (Guest) on August 11, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 7, 2023

Rehema zake hudumu milele

Peter Mbise (Guest) on February 1, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Chris Okello (Guest) on November 11, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Kimario (Guest) on August 22, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Irene Akoth (Guest) on May 26, 2022

Dumu katika Bwana.

Ann Wambui (Guest) on May 11, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Mligo (Guest) on April 24, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

James Malima (Guest) on April 7, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Tabitha Okumu (Guest) on March 20, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Ochieng (Guest) on March 8, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Moses Mwita (Guest) on August 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Lowassa (Guest) on May 14, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Irene Akoth (Guest) on May 4, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Aoko (Guest) on September 15, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Stephen Malecela (Guest) on April 3, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on March 1, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mwikali (Guest) on January 23, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ruth Wanjiku (Guest) on September 17, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

John Kamande (Guest) on August 31, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 11, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Moses Kipkemboi (Guest) on February 14, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on February 6, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Moses Mwita (Guest) on January 3, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Jacob Kiplangat (Guest) on April 12, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Edward Lowassa (Guest) on April 6, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Nancy Kawawa (Guest) on September 18, 2017

Nakuombea 🙏

Agnes Sumaye (Guest) on August 18, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Fredrick Mutiso (Guest) on April 4, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Njuguna (Guest) on March 24, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Carol Nyakio (Guest) on December 17, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joyce Nkya (Guest) on September 9, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Patrick Kidata (Guest) on July 28, 2016

Sifa kwa Bwana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Nora Kidata (Guest) on March 8, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Rose Lowassa (Guest) on November 21, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Linda Karimi (Guest) on November 7, 2015

Mungu akubariki!

Ruth Mtangi (Guest) on October 28, 2015

Rehema hushinda hukumu

Victor Kamau (Guest) on September 17, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Victor Malima (Guest) on July 9, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Samuel Omondi (Guest) on May 5, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Related Posts

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sana…
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili a... Read More

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

Read More
Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Huruma ya Mungu ni chemchemi ya upendo usiokwisha. Tunaishi katika dunia ambayo imejaa shida na m... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Shetani ni adui wa Mungu na mwanadamu. Kanisa linakiri kuwepo kw... Read More

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu? Jibu ni Ndio,  Swali hili limekuwa likiz... Read More
Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Read More
Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More
Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.

<... Read More
Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Karibu kwenye makala hii ambayo in... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Ndio, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria... Read More

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Watu wawili👬 walikuwa wanakunywa pombe🍺🍻 baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana🙅... Read More