Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mambo 5 ambayo wanawake wanatamani mwanaume ajue wakati wa kufanya mapenzi

Featured Image

Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo wanawake hutamani sana wanaume zao wawe wanajua katika mapenzi, ili wasipate shida ya kumwambia mara kwa mara, jambo ambalo si wanawake wengi huwa uwezo wa kumwambia mtu, hapo ndipo unakuta mara nyingi mwanamke anaanza kuchepuka na kwenda kwa mtu mwingine wa kawaida tu kupata mahitaji yake baada ya kuona kile anachokitaka hakipati kwa mpenzi wake.


 

Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanapenda wanaume wayajue hata kabla ya kuambiwa;


1. Wanawake wanapenda ufuate anachokitaka


Katika mapenzi wanawake wanapenda ufanye kile wanachokitaka japo ni vigumu kujua mwanamke anapenda nini. Kwa hiyo kama ni vigumu kujua kitu gani anapenda basi ni vizuri kuwa makini na kugundua ni kitu gani hapendi ili usimfanyie ambacho hapendi na ufanye anachopenda. Japokuwa si wanawake wote wanaweza kukwambia ni nini hasa kinawauzi, kuogopa kukuudhi, hivyo inawafanya wapate shida sana na kuweka maisha yao yawe magumu. Kwa sababu hiyo wewe kama mwanaume unapaswa kuwa makini na matendo yao ili kujua tofauti ya vitu ambavyo hawapendi na vile vinavyowapa furaha. Kisha fanya vile wanavyovipenda.


2. Hupendelea tendo la ndoa lidumu muda mrefu


Wanawake hupenda tendo la ndoa lidumu walau kwa dakika mbili. Na wanatamani ikiwezekana hata ikibidi ifanyike siku nzima. Sio muda tuu ndio muhimu bali hata kile unachofanya. Wanaume wengi kujali kujizuia, ilimradi wakae muda mrefu katika tendo, lakini kutokana na tafiti hili sio sababu, wanawake wengi hupenda zaidi ya muda mrefu, hupenda kuungana na wewe kihisia kupitia kushikana, kubusu nakadhalika. Wakati wanaume wengi huwa hawafanyi na kukazania tu kukaa muda mrefu kujua kuwa ndio wanawake wanachotaka. Kwa hiyo wanapenda tendo la ndoa lidumu lakini lisichoshe.


 

3. Wanataka mwanaume jasiri sio anayetumia nguvu


Wanawake wanataka wanaume walio jasiri wa kufanya nasio wanaotumia nguvu na ubabe. Wanaume wengi huwa hawajui tofauti ya ujasiri na kutumia nguvu, hivyo wasikiapo kuwa inabidi uwe na ujasiri wanadhani kuwa kuna kutumia nguvu na mwisho kuwaumiza wapenzi wao, wanawake wengi wamekuwa wakikerwa na kuogopeshwa na mambo ambayo hufanyiwa na wanaume zao, kipindi ambacho wanaume wakufikiri kufanya hivyo ni kuwa na ujasiri. Wanawake hutamani sana wanaume wangejirekebisha na kujua maana halisi ya kuwa na ujasiri kwamba sio kutumia nguvu na ubabe.


4. Wanawake hawafanani


Wanawake wanapenda wanaume wajue kuwa sio wanawake wote hupenda vitu sawa. Wanaume wengine hufikiri kuwa kwa sababu mpenzi wake wa zamani alikua anapenda kufanyiwa alikuwa basi na huyu wa sasa atakuwa hivyo hivyo, hii inatokea kuwachanganya sana wanawake, na kukereka kwa baadhi ya mambo, huku mwanamke akiwa hana jinsi bali kuvumilia tu, na mwisho wa siku ndio unakuta, ananza kutafuta njia ya kukukwepa. Kwa hiyo mwanamme anatakiwa amjue mpenzi wake kibinafsi yeye kama yeye na sio kumjua kwa kumfananisha na wanawake wengine. Mwanamme amfanyie mpenzi wake kama anavyopendelea na sio kama anavyofikiri wanawake wanapendelea.


 

5. Kumfurahisha mwanamke sio ufundi tuu bali ni mapenzi


Wanawake wanapenda kuonyeshwa upendo au mapenzi ya dhati. Wanawake wengi hukubali kuwa kuna wanume wenye ufundi na uzoefu katika haya mapenzi, ila wanasema hiyo sio kitu bora zaidi, wanachokitaka ni mapenzi, kuonyesha mapenzi na dalili zote za kumjali ndio jambo muhimu sana. Mapenzi ni kichocheo kikubwa cha kumridhisha mwanamke.






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki niΒ Soft copy [pdf]Β kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa mojakirahisi kabisa kwenye simu yako.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza katika Familia: Kuweka Mwelekeo wa Kujenga Maarifa

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza katika Familia: Kuweka Mwelekeo wa Kujenga Maarifa

Kuhamasisha ushirikiano wa kujifunza katika familia ni jambo muhimu sana katika kujenga maarifa n... Read More

Jinsi ya Kuonyesha upendo na heshima kwa mpenzi wako

Jinsi ya Kuonyesha upendo na heshima kwa mpenzi wako

Kuonyesha upendo na heshima kwa mpenzi wako ni muhimu katika kudumisha uhusiano mzuri na wa afya. Ha... Read More
Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Kama wewe ni miongoni mwa wanaume wanaotaka kuwa na tarehe ya kimapenzi na msichana, kuna vidokez... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kifedha na matumizi

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kifedha na matumizi

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kifedha na matumizi ni muhimu katika kujenga uelewano n... Read More
Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza

Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza

Hakuna kitu kizuri kama kukutana na msichana unayempenda kwa tarehe ya kwanza. Lakini, unapotaman... Read More

Kujenga Mazoea ya Kuonyeshana Upendo na Kuthamini katika Familia Yako

Kujenga Mazoea ya Kuonyeshana Upendo na Kuthamini katika Familia Yako

Karibu katika makala yetu kuhusu "Kujenga Mazoea ya Kuonyeshana Upendo na Kuthamini katika F... Read More

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya elimu na ukuaji binafsi

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya elimu na ukuaji binafsi

Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya elimu na ukuaji binafsi ni njia nzuri ya kuendeleza na k... Read More
Angalia binadamu walivyo

Angalia binadamu walivyo

Angalia Binadamu walivyo!,

"Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,"

Ukifanikiwa sio BURE,Read More

Ushawishi wa Vyombo vya Habari katika Maoni yetu ya Kufanya Mapenzi: Kuchambua na Kuelimisha

Ushawishi wa Vyombo vya Habari katika Maoni yetu ya Kufanya Mapenzi: Kuchambua na Kuelimisha

Ushawishi wa vyombo vya habari katika maoni yetu ya kufanya mapenzi ni suala ambalo limekuwa liki... Read More

Jinsi ya Kuendeleza Ushirikiano wa Timu katika Mahusiano

Jinsi ya Kuendeleza Ushirikiano wa Timu katika Mahusiano

  1. Weka malengo sawa: Kabla ya kuanza kazi yoyote, ni muhimu kwa kila mtu katika timu kuwa... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ushirikiano wenye Furaha katika Mahusiano yako

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ushirikiano wenye Furaha katika Mahusiano yako

Mahusiano ni jambo muhimu sana katika maisha yetu. Lakini ili kuwa na mahusiano mazuri, ni muhimu... Read More

Jinsi ya Kusaidia Watoto kukabiliana na Teknolojia na Matumizi ya Mtandao

Jinsi ya Kusaidia Watoto kukabiliana na Teknolojia na Matumizi ya Mtandao

Habari za leo wapendwa wasomaji! Hii ni makala ya kujadili jinsi ya kusaidia watoto kukabiliana n... Read More