Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mchumba anayefaa kufunga naye ndoa

Featured Image

Maisha ya ndoa yanahitaji maandalizi mazuri, kama waswahili wasemavyo nyote njema huonekana asubuhi, asubuhi ya maisha ya ndoa ni kipindi cha uchumba. Ndugu zangu, kipindi cha uchumba ni lazima tukitumie vizuri na kwa makini na kila jambo, ukitambua hakuna jambo dogo wa kubwa, kila jambo uliangalie katika mapana yake na katika uzito wake.

Hivyo basi huyo anayetaka kuwa na wewe jiulize maswali haya juu yake;

1. Je anamtambua Mungu na kuishi maisa ya kumpendeza Mungu, katika matendo yake na maneno yake?
2. Je huyo mchumba wako yupo tayari kukusaidia wewe kufikia malengo yako katika maisha?
3. Je huyo mchumba wako anakuheshimu na kukusikiliza au mtu anayekudharau?
4. Je mchumba wako anakushirikisha kila jambo kuhusu maisha yake na pia kuwa na utayari wa kupokea mawazo yako?
5. Je mchumba wako ana mawasiliano na wewe kwa kiasi kikubwa na kukujulia hali mara kwa mara?
6. Je mchumba wako yupo tayari kujitoa kwa ajili yako kwa hali na mali ili kufikia malengo yenu ya pamoja?
7. Je unatambua mazuri na mapungufu ya mchumba wako, hasa tukitambua hakuna mtu ambaye ni mkamilifu na namna gani mnasaidiana katika madhaifu yenu
8. Je mchumba wako ni msikivu au ni mtu ambaye anapoamua jambo ndilo analotaka hawezi kukusikiliza wala kupokea mapendekezo yako?
9. Je mchumba wako ni mwaminifu na anajitunza kwa ajili yako wewe tu au ni mtu ambaye haeleweki heleweki?
10. Je mchumba wako yupo tayari kukusamehe unapomkosea au kuomba msamaha anapokosea, au ni mtu mbishi
Haya ni mambo machache ambayo ni lazima kuyatafakari kuhu mchumba wako kama anakufaa kuunga naye NDOA? Usikurupuke.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kukuza Urafiki na Upendo katika Familia Yako ili Iwe na Amani na Furaha

Kukuza Urafiki na Upendo katika Familia Yako ili Iwe na Amani na Furaha

Kufanya familia yako kuwa na upendo na amani inahitaji jitihada kutoka kwa kila mmoja. Ni muhimu ... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali watu wenye magonjwa

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali watu wenye magonjwa

Jambo rafiki yangu! Leo nitakufundisha jinsi ya kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia ... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki yangu? Leo nataka kuzungumzia suala ambalo limekuwa likiwasumbua wengi kwa mud... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya upangaji uzazi na familia yenye watoto wachache

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya upangaji uzazi na familia yenye watoto wachache

Kama unapanga kuwa na familia yenye watoto wachache, ni muhimu kujadili suala hili na mpenzi wako... Read More

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kukabiliana na changamoto za kihisia

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kukabiliana na changamoto za kihisia

Kusaidiana na mpenzi wako katika kukabiliana na changamoto za kihisia ni muhimu kwa kujenga nguvu na... Read More
Njia za Kuimarisha Uhusiano wa Kihisia na Kimahaba na mke wako

Njia za Kuimarisha Uhusiano wa Kihisia na Kimahaba na mke wako

Kuimarisha uhusiano wa kihisia na kimahaba na mke wako ni muhimu katika kudumisha ndoa yenye furaha ... Read More
Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kulea watoto na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kulea watoto na mpenzi wako

Kulea watoto na mpenzi wako ni moja ya majukumu magumu yanayoweza kuwa na changamoto nyingi. Kuna... Read More

Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako

Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako

Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako

Kupanga tarehe ya kipekee na msichana ... Read More

Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana

Kamwe hufai kuhisi... Read More

Jinsi ya kujifunza na kukuza uhusiano wako na mke wako

Jinsi ya kujifunza na kukuza uhusiano wako na mke wako

Kujifunza na kukuza uhusiano wako na mke wako ni muhimu sana katika kudumisha ndoa yenye afya na fur... Read More
Kuishi na Tofauti za Kijinsia katika Uhusiano: Kuelewa na Kuheshimu

Kuishi na Tofauti za Kijinsia katika Uhusiano: Kuelewa na Kuheshimu

Kuishi na Tofauti za Kijinsia katika Uhusiano: Kuelewa na Kuheshimu

  1. Kuelewa Tofa... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kiimani na dini na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kiimani na dini na mpenzi wako

Mapenzi ni hisia za kipekee ambazo huja na changamoto zake. Mojawapo ya changamoto kubwa katika u... Read More