Kizinda ni kiwambo laini kinachokuwepo ndani ya uke. Kiwambo hiki kina tundu katikati i i ili kuwezesha damu ya hedhi kupita kiurahisi. Ukubwa na unene wa kiwambo hiki hutofautiana kati ya msichana na msichana. Wakati wa tendo la kwanza la ngono, huchanika na kwa wengi i i inasababisha kutokwa damu. Lakini pia inawezekana kutokuwepo na tendo la kutokwa damu. Hii ni kwa sababu kiwambo hiki kina asili ya kunyumbuka sana na wakati mwingine tundu lake ni kubwa. Inawezekana pia kuwa kiwambo hiki tayari kilikuwa kimeharibiwa na sababu nyingine.

Kweye Bikra, Kizinda ni nini na kinawezaje kuharibika?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je , vipimo vya Virusi vya UKIMWI vinasema ukweli?
Uwezekano wa kupata majibu ya uwongo ni mdogo sana, isipokuwa tu kama vipimo vitafanyika kipindi ... Read More

Nifanye nini ili kujua kama nina au sina maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?
Ipo njia moja ya kuhakikisha kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI au hapana. Njia hii ni... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi
Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi π
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutajadili njia ... Read More

Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye vi...
Read More

Nikitumia nyembe kali au sindano pamoja na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI ninaweza kupata Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Ndiyo, unaweza kuambukizwa ukitumia nyembe kali au sindano kwa kuchangia pamoja na mtu mwenye vir... Read More

Msaada juu ya ukeketaji
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unawez...
Read More

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba? πΈπ

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako
Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako
Ndoa ni muunganiko wa wawili kuwa ki... Read More

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?
Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini...
Read More

Uhusiano wa ubakaji na uvaaji wa nguo fupi?
Ubakaji kamwe siyo kosa linalomhusu yeye aliyebakwa; ni kosa
linalomuhusu yeye aliyebaka. Un...
Read More

Sheria kuhusu utoaji mimba
Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoa...
Read More

Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Kuwa msichana ni nzuri, lakini kuwa msichan... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!