Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi

Featured Image

Kwa vijana mara nyingine siyo rahisi kufahamu afanye nini mara anapopata ashiki (hamu) ya kutaka kujamii ana. Unaweza ukajaribu kujisahaulisha kwa kufanya mambo mengine kama kucheza michezo kujifu-nza, kujisomea, kuwasaidia wazazi kazi za nyumbani au kuungana na vijana wen-zako katika shughuli za vikundi katika jamii . Vijana wengine huoga maji ya baridi kuondoa ashiki.

Kujisikia hamu ya kutaka kujamii ana au uume kudinda haimaanishi kwamba ni lazima ujamii ane. Kujamii ana ni njia mojawapo tu ya kuonyesha mapenzi. Kuna njia nyingine ambazo hutumika, kwa mfano kubusu, kuongea, kushikana mikono, kukumbatiana na kushikanashikana.
Njia nyingine ya kutumia kumaliza hamu ni kupiga punyeto. Kupiga punyeto ni kitendo cha msichana kushikashika na kusugua taratibu kinembe chake mpaka anafikia mshindo au kitendo cha mvulana kusuguasugua uume wake mpaka akojoe manii . Watu wengi wanaopiga punyeto hufanya hivyo wakiwa peke yao. Kupiga punyeto hakuna madhara yoyote ya kiafya wala kiakili.
Kwa vyovyote vile, kama huwezi kabisa kuacha kujamii ana, hakikisha mapenzi yawe salama. Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizo ya VVU na UKIMWI. Kwa upande mwingine, mapenzi salama yanaweza kuwa ni vitendo vya kumaliza hamu bila kuhusisha sehemu za siri za mwanamke na mwanaume kukutana. Kwa upande mwingine mapenzi ya uume kuingizwa ukeni yanakuwa pia salama i iwapo tahadhari imechukuliwa kwa maana kwamba kondomu i litumika.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Sheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?

Sheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?

Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamana
na kukubali kulinda haki za binada... Read More

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya hukonda?

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya hukonda?

Dawa za kulevya huharibu ufanyaji kaza wa kawaida wa mfumo wa mwili hasa tumbo na utumbo wa watum... Read More

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? 🌟

Asante kwa ku... Read More

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaa... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono?

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono 🌟

Karibu vijana wenzangu! Leo, tutaj... Read More

Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Msichana Wako kila Siku

Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Msichana Wako kila Siku

Wewe ni mpenzi mzuri na unapenda msichana wako kwa dhati. Lakini je, unamwonyesha upendo kila sik... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mazuri ya Ana kwa Ana na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mazuri ya Ana kwa Ana na Msichana

Mawasiliano mazuri ya ana kwa ana na msichana ni muhimu sana katika uhusiano wowote. Ni njia bora... Read More

Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai

Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai

Mapenzi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila mwanadamu, na kwamba uhusiano wa kimapenzi ni s... Read More

Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidu... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana

Kuwa na uhusiano mzuri na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anataka. Hata hivyo, wakati mwin... Read More

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?

Hapana. Ualbino ni hali
inayoweza kutokea kwa
wanadamu na wanyama wa
kundi la mama... Read More

Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?

Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?

Wakati wa makuzi au kipindi cha kubalehe, wavulana hupitia mabadiliko mbali... Read More