Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, kuna dawa yoyote ya kutibu ugumba?

Featured Image

Hakuna jibu la ujumla kwa swali hili, kwa sababu tiba ya ugumba inategemea chanzo maalum cha ugumba huo kwa mhusika. Kuna matatizo ya ugumba ambayo yanaweza kutibiwa, lakini mara nyingi ni vigumu au hata haiwezekani kumtibu mwanaume au mwanamke mgumba.
Kwanza kabisa, lazima daktari atafute sababu za ugumba kwa kufanya uchunguzi wa kitaalamu kwa mwanamke na mwanaume. Baada ya uchunguzi daktari anaweza akawashauri kuhusu uwezekano wa kuwatibu. Mara nyingine tiba ni rahisi, lakini matatizo mengine ni mazito na ni vigumu au haiwezekani kuyatibu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya kujikinga na ubakaji

Jinsi ya kujikinga na ubakaji

Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea. Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unawe... Read More
Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana

Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana

Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana

Kuonyesha utambulisho wako kwa msichana n... Read More

Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako

  1. Tafuta Muda wa Kipekee Kutafut... Read More

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana

Unapokwenda kwenye tarehe ya kwanza na msichana, ni muhimu sana kufikiria njia za kufanya tarehe ... Read More

Je, kuna mambo ya haramu katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna mambo ya haramu katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna mambo ya haramu katika ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali ambalo linaweza kuwa na maji... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi

Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi

Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi 🌟

Karibu vijana wenzangu! Leo, tutajadili njia ... Read More

Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujiongeza nguvu wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujiongeza nguvu wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari za leo rafiki yangu! Leo tutazungumzia jambo muhimu sana kwenye uhusiano wa mapenzi, ambal... Read More

Vidokezo vya Kuchagua Tarehe ya Kuvutia na Msichana

Vidokezo vya Kuchagua Tarehe ya Kuvutia na Msichana

Kuchagua tarehe ya kuvutia na msichana inaweza kuwa changamoto sana, lakini kwa bidii na uwezo wa... Read More

Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi sana ambayo ... Read More

Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?

Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?

Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i ... Read More

Je, matokeo ya kupima na kukutwa huna virusi vya Ukimwi ni yapi?

Je, matokeo ya kupima na kukutwa huna virusi vya Ukimwi ni yapi?

Kwa kawaida mtu anapoamua kwenda kupima mara nyingi anakuwa na sababu za kumfanya ahisi kuwa au k... Read More

Uhusiano wa ubakaji na uvaaji wa nguo fupi?

Uhusiano wa ubakaji na uvaaji wa nguo fupi?

Ubakaji kamwe siyo kosa linalomhusu yeye aliyebakwa; ni kosa
linalomuhusu yeye aliyebaka. Un... Read More