Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuna athari gani za mimba za utotoni hasa kwa kijana Albino?

Featured Image

Katika masuala ya athari za mimba katika umri mdogo ni
kwamba vijana Albino hawana tofauti na vijana wengine . Bado
inashauriwa na kutiliwa mkazo umuhimu wa msichana kutopata
mimba akiwa na umri chini ya miaka 18.

Sababu kubwa ikiwa ni
kuwa mwili wa msichana
ambaye umri wake ni chini
ya miaka 18 haujakomaa
vya kutosha kuweza
kuhimili ujauzito bila
matatizo. Katika umri huu
mdogo, uwezekano mkubwa
wa kupata matatizo
yanayotokana na ujauzito,
hasa wakati wa kujifungua.
Uzoefu umeonyesha
kuwa mara nyingi wakati
wa kujifungua mtoto
anashindwa kutoka na
inabidi mama afanyiwe
upasuaji. Pia katika
umri huu uwezekano ni
mkubwa mtoto kuzaliwa
njiti (hajafikia muda wa
kuzaliwa).
Tatizo jingine linaweza kutokea pale ambapo kichwa cha mtoto
ni kikubwa au mama anakuwa na uchungu wa muda mrefu na
kusababishwa kuchanika kwenye mfumo wa uzazi kwenye njia
ya haja ndogo au hata na njia ya haja kubwa na mama kupata
fistula. Hali hii ikitokea itamfanya mama hatimaye awe anavuja
ama haja ndogo au haja kubwa au vyote viwili kupitia njia ya
ukeni.

Mbali na madhara haya ya kiafya, msichana anaweza kupata
matatizo mengine ya kijamii kama vile kufukuzwa shule,
kusababisha ugomvi ndani ya familia na jamii. Kwa mantiki hii,
ni muhimu kwa vijana kusubiri hadi kufikia miaka 18 wakiwa
tayari kuchukua / kubeba majukumu kama wazazi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Karibu kwenye makala hii a... Read More

Dawa gani za kulevya ni hatari zaidi?

Dawa gani za kulevya ni hatari zaidi?

Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheri... Read More

Kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi, iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa?

Kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi, iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa?

Sheria ya Tanzania inaeleza dawa zilizo halali na zisizo halali.
Tumbaku imekubalika na jami... Read More

Vidokezo vya Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuanza Uhusiano

Vidokezo vya Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuanza Uhusiano

Urafiki mzuri ni msingi muhimu wa kuanza uhusiano wa kimapenzi. Kujenga urafiki mzuri na msichana... Read More

Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi sana ambayo ... Read More

Msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba?

Msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba?

Msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama nd... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki yangu? Leo nataka kuzungumzia suala ambalo limekuwa likiwasumbua wengi kwa mud... Read More

Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapenzi ya haraka au ngono/kufanya mapenzi ya muda mrefu?

Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapenzi ya haraka au ngono/kufanya mapenzi ya muda mrefu?

Kama mtaalamu wa masuala ya mahusiano, swali la iwapo watu wanapenda ngono ya muda mfupi au muda ... Read More

Iwapo mtu mzima amejamiiana na mtoto na wote wawili wamekubaliana

Iwapo mtu mzima amejamiiana na mtoto na wote wawili wamekubaliana

Ni kweli hiyo ni dhuluma na inaitwa unyanyasaji wa kijinsia kwa
mtoto. Watoto wanaweza kusha... Read More

Umri unaofaa kuoa

Umri unaofaa kuoa

Kuoana maana yake ni kuwajibika kwa maisha yako na mke au mume wako. Mara nyingi kuoana kunaambatana... Read More
Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa

Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa

Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 197... Read More

Ualbino unarithiwa vipi?

Ualbino unarithiwa vipi?

Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafa... Read More