Sala ni Hazina. Kusali ni muhimu sana. Sala unayosali leo inaweza kukusaidia hata miaka kumi ijayo au ikasaidia watoto wa watoto wako. Mungu ni mwenye fadhila na anakumbuka yote. Mwombe Mungu akulinde ukiwa mzima ili uwapo hatarini akukumbuke hata kabla hujamwomba.

Sala ni Hazina
Date: September 10, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Upendo wa Mungu hauna mwisho
Upendo wa Mungu hauna mwisho. Mtu anaweza akaacha kukupenda na kukusahau kabisa lakini kamwe Mung... Read More

Umuhimu wa kumsogelea Mungu
Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ... Read More

Maana ya kubarikiwa
Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, f... Read More

Toba, msamaha na Baraka
Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiw... Read More

Mungu anajibu sala kutokana na nia
Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.
... Read More
Sala sio maneno tuu
Sala siyo maneno mazuri, bali sala ni NIA ya Upendo iliyobebwa na maneno mazuri. Tusali kwa kunui... Read More

Sala ni kuongea na Mungu
Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Mungu anasubiri sala zako
Mungu anasubiri sala zako kila siku. Anasubiri sala zako akujibu ili uone utukufu wake. Anasubiri... Read More

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu
Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi
Wakati wazazi waliweza kuaamua kuzaa mtoto tuu, Mungu yeye alikuchagua wewe utungwe mimba na kuku... Read More

Njia ya Kumtafuta Mungu
Mungu ni rahisi sana kupatikana. Ugumu ni njia ya Kumtafuta Mungu na namna ya kumuishi Mungu. Hap... Read More
Joseph Kiwanga (Guest) on July 18, 2024
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Thomas Mtaki (Guest) on July 2, 2024
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Samuel Were (Guest) on June 11, 2024
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 5, 2024
Tumaini ni nanga ya roho
Robert Okello (Guest) on December 15, 2023
Neema na amani iwe nawe.
Stephen Kangethe (Guest) on October 24, 2023
Katika imani, yote yanawezekana
Grace Wairimu (Guest) on March 12, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Patrick Mutua (Guest) on February 23, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Patrick Kidata (Guest) on September 24, 2022
Mwamini katika mpango wake.
John Mwangi (Guest) on August 26, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Lydia Mutheu (Guest) on June 7, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Jane Muthoni (Guest) on April 24, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
Stephen Amollo (Guest) on February 19, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Chris Okello (Guest) on November 7, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Josephine Nekesa (Guest) on May 30, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Nancy Komba (Guest) on May 7, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Moses Kipkemboi (Guest) on May 6, 2021
Rehema zake hudumu milele
Ruth Mtangi (Guest) on March 27, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Peter Mwambui (Guest) on March 13, 2021
Baraka kwako na familia yako.
George Tenga (Guest) on March 9, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
Andrew Mahiga (Guest) on January 19, 2021
Sifa kwa Bwana!
Francis Njeru (Guest) on October 17, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Peter Mwambui (Guest) on June 19, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Josephine Nduta (Guest) on May 4, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
John Lissu (Guest) on April 8, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Francis Mrope (Guest) on January 22, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Elizabeth Mrope (Guest) on January 10, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Violet Mumo (Guest) on November 27, 2019
Endelea kuwa na imani!
Jane Malecela (Guest) on September 24, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
James Kawawa (Guest) on August 30, 2019
Dumu katika Bwana.
Kenneth Murithi (Guest) on January 5, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Josephine Nduta (Guest) on September 27, 2018
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Janet Sumaye (Guest) on July 13, 2018
Nakuombea π
David Kawawa (Guest) on February 27, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Joseph Mallya (Guest) on October 20, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Hellen Nduta (Guest) on October 8, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
John Lissu (Guest) on September 25, 2017
Rehema hushinda hukumu
Michael Mboya (Guest) on September 19, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Ruth Mtangi (Guest) on August 19, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Anna Mchome (Guest) on December 2, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Monica Adhiambo (Guest) on November 6, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Lydia Mutheu (Guest) on September 20, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Robert Okello (Guest) on March 29, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Henry Sokoine (Guest) on March 3, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Stephen Kikwete (Guest) on January 18, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nancy Kabura (Guest) on January 7, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
George Tenga (Guest) on October 28, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
David Ochieng (Guest) on July 21, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
George Ndungu (Guest) on May 28, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Chris Okello (Guest) on April 27, 2015
Mungu akubariki!